BREAKING NEWSzzzzzzzzzzzzz MSANII KANUMBA HAYUPO TENA DUNIANI
Msanii nyota wa filamu nchini Steven Kanumba pichani amefariki dunia eneo la Mbangala baada ya kupata ajali ya gari .
Imeelezwa kuwa msanii huyo alipata ajali hiyo wakati akitokea kwenye ukumbi wa burudani wa Dar Live usiku majira ya saa 7
Zipo tetesi kuwa Kanumba katika gari hilo alikuwa na mmoja kati ya warembo hapa nchini ambaye anadaiwa kuhusika katika kifo chake.
Mwili wa msanii huyo umehifadhiwa katika chumba cha maiti katikaHospital ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam na habari zaidi utaendelea kuzipata katika mtandao huu wa www.francisgodwin.blogspot.com .
Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake na lihimidiwe milele Amina .
Imeelezwa kuwa msanii huyo alipata ajali hiyo wakati akitokea kwenye ukumbi wa burudani wa Dar Live usiku majira ya saa 7
Zipo tetesi kuwa Kanumba katika gari hilo alikuwa na mmoja kati ya warembo hapa nchini ambaye anadaiwa kuhusika katika kifo chake.
Mwili wa msanii huyo umehifadhiwa katika chumba cha maiti katikaHospital ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam na habari zaidi utaendelea kuzipata katika mtandao huu wa www.francisgodwin.blogspot.com .
Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake na lihimidiwe milele Amina .