BREAKING NEWS....MAJAMBAZI WAVAMIA ENEO LA MLIMANI CITY DAR USIKU HUU
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari tukio hilo limetokea dakika chache kuanzia sasa na inadaiwa kuwa hakuna madhara makubwa kwa binadamu na kiwango cha fedha kilichochukuliwa na wezi hao bado kujulikana habari inakuja
No comments:
Post a Comment