INATISHA NI BAADA YA KUSHINDWA KUUA AJICHOMA KISU SHINGONI
Mwanamke ambae bado hajafahamika jina wala anakoishi katika mkoa wa Iringa akiwa hoi baada ya kujichoma kisu shingoni mwenyewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni baada ya mwenyeji wake kumkimbia na kujificha chooni kukwepa kuuwawa na mwanamke huyo asubuhi ya leo eneo la Frelimo mjini Iringa(picha zinatisha sana naomba radhi kwa usumbufu )
Hapa akikimbizwa hospitali ya mkoa na askari polisi waliofika kunusuru maisha yakeChanzo: francisgodwin.blogspot.com
No comments:
Post a Comment