
Mwanamke ambae bado hajafahamika jina wala anakoishi katika mkoa wa Iringa akiwa hoi baada ya kujichoma kisu shingoni mwenyewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni baada ya mwenyeji wake kumkimbia na kujificha chooni kukwepa kuuwawa na mwanamke huyo asubuhi ya leo eneo la Frelimo mjini Iringa(picha zinatisha sana naomba radhi kwa usumbufu )

Hapa akikimbizwa hospitali ya mkoa na askari polisi waliofika kunusuru maisha yake
Chanzo: francisgodwin.blogspot.com
No comments:
Post a Comment