
Kijana mtanashati mjini Iringa maarufu kwa jina la DMX amenusurika kifo baada ya kuvamiwa na vijana ambao amewatambua kwa majina na kumjeruhi kwa kumpiga nondo kichwani ,DMX alivamiwa usiku wa juzi eneo la Makorongoni katika Manispaa ya Iringa
Chanzo: www.francisgodwin.blogspot.com
No comments:
Post a Comment