The Guinness Book of Records Mpoo!!!..
Mhariri Wa Gazeti La Kwanza Jamii-Iringa Greyson Mgoi akiwa na Msanifu Kurasa John Mnubi wakistaajabu kuona kiazi kikubwa kilichochimbwa Mtaa wa Frelimo mkoani Iringa |
Picha ikionyesha utofauti wa kiazi chenye ukubwa wa Kawaida Kushoto na Kulia chenye ukubwa wa ajabu |
Mzee Kalolo ambaye ndiye aliyechimba kiazi hicho akiwa amekibeba, kiazi hiki inasemekana ni kikubwa kuwahi kuchimbwa Iringa na Duniani kina wastani wa kg 8. Chanzo: http//:www.mjengwa.blogspot.com |