Sunday, May 13, 2012
AL AHLY SHANDY YASHINDA PENATI 9-8 NA KUITOA MASHINDANONI SIMBA HUKO SUDAN
Tayari timu ya Simba iko uwanjani hivi sasa ikipambana na timu ya Al
Ahly Shandy ya huko Shandy nchini Sudan katika kipindi cha dakika 90
Simba imefungwa magoli matatu wakati yenyewe haijapata kitu,
mchezo huo ulianza saa mbili kamili kwa majira ya Tanzania.
Baada ya kuamriwa kupigwa penati kwa kanuni za mashindano hayo.
Timu ya Al Ahly Shandy imeshinda penati 9-8 dhindi timu ya Simba na kuisukumiza nje ya mashindano.
Baada ya kuamriwa kupigwa penati kwa kanuni za mashindano hayo.
Timu ya Al Ahly Shandy imeshinda penati 9-8 dhindi timu ya Simba na kuisukumiza nje ya mashindano.
Katika mchezo wa
kwanza uliofanyika wiki mbili zilizopita jijini Dar es salaam Simba
ilishinda magoli 3-0 na kujiweka katika nafasi nzuri ili kusonga mbele
katika michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho inayoandaliwa na Shirikisho
la vyama vya mpira wa miguu Afrka (CAF) vizur.
Hata hivyo imeshindwa kulinda ushindi wake mnono ilioupata jijini Dar es salaam na kukubali kipigo hicho kilichowasukumiza nje ya mashindano hayo.
Hata hivyo imeshindwa kulinda ushindi wake mnono ilioupata jijini Dar es salaam na kukubali kipigo hicho kilichowasukumiza nje ya mashindano hayo.