BASI LA ABOOD LAPATA AJALI ASUBUHI YA LEO MAENEO YA MBEZI
Basi la kampuni ya Abood likiwa limepinduka maeneo ya Mbezi wakati likitoka Mkoani Morogoro kuelekea Dar es salaam asubuhi ya leo.
Chanzo cha ajali hii hakikuweza kufahamika mapema. Kwa mujibu wa walioshuhudia ajali hiyo wameeleza kuwa gari hilo lilikuwa likijaribu kulipita gari lililokuwa mbele yake.
Picha na Lukaza
Habari ni kwa hisani ya latestnews.blogspot.com
No comments:
Post a Comment