For home theatre system solution

Wednesday, February 22, 2012

SONGEA

BREAKING NEWS
VURUGU KUBWA ZAENDELEA KATI YA POLISI NA WANANCHI

Na Kalmas Konzo
Kwa habari zilizoufikia mtandao huu zinzsema kwamba kuna vurugu zinazoendelea kati ya polisi na wananchi mjini Songea.

Imasemekana kwamba polisi wanatumia mabomu na risasi katika kutuliza ghasia.

Pia inasemekana kwamba vurugu hizo zimesababishwa na maandamano ya raia wanaopinga mauaji ya ,ara kwa mara yanayotokea mjini Songea.

Habari kamili kuhusu tukio hili zitakujia hivi punde.


Copy right: www.tuburudike.blogspot.com

No comments:

Post a Comment