For home theatre system solution

Monday, February 13, 2012

AY, MWANA FA, CHEGGE, TEMBA, DOGO ASLAY WAFANYA ‘KURUFU’ DAR LIVE

AY (kushoto) na Mwana FA wakikamua.
...Wakiendelea kuwapagawisha mashabiki.
Temba akichana mistari.
Chegge (kushoto) na Temba wakiwika stejini.
...Wakiuimbisha umati kituoni hapo.
Mwanamuziki  Shilole naye alikuwepo.
Dogo Asley akifanya vitu vyake.
...Akionyesha hazina yake ilivyo.
Mwanamuziki wa  'Twanga Pepeta', Luiza Mbutu (kushoto), akiimba na kucheza.
Msafiri Diouf akiwapa raha mashabiki.
Wanenguaji wa Twanga Pepeta wakionyesha ‘matindo’.
...Wakitoa staili ya ‘tufe pamoja’.
Zamu ya Wakali Dancers.
Mmoja wa washiriki wa ‘Vaa, Imba, Cheza Kama Rihanna’ akijinafasi.
Kina ‘Rihanna’ wakiwa pamoja.
East African Melody wakiwa kazini.
Afua Selemani wa East African Melody.
Mashabiki lukuki walioijaza Dar Live.
KITUO cha maraha cha Dar Live kilichoko Mbagala jijini Dar kilirindima kwa vifijo vya burudani ya muziki  kutoka vikundi mbalimbali vya wasanii.

Ilikuwa ni ‘kufuru tupu’ wakati wasanii AY akishirikiana na Mwana FA walipotoana jasho na wenzao kina  Chegge na Temba kutoka katika kundi la Wanaume Family yote hayo yakisindikizwa na burudani kutoka kundi la taarabu la East Africa Melody, Wakali Dancers, Dogo Asley, Shilole na bendi ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga pepeta..
PICHA: ISSA MNALLY NA MUSSA MATEJA,/GPL
Habari hii ni kwa hisani ya Global Publishers

No comments:

Post a Comment