For home theatre system solution

Sunday, May 27, 2012

ANASWA AKITUHUMIWA KUVUNJA NEEMA CRAFTS IRINGA

Kijana ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja mkazi wa kata ya Makorongoni mjini Iringa akiwa amewekwa chini ya ulinzi baada ya kukutwa akivunja eneo la ofisi za Neema Crafts mjini Iringa jana usiku (picha na Jeremia Chaula Photo wa www.blogspot.com)
Hapa akiadhibiwa kwa kumwagiwa maji ya baridi
Jamani wadau anafahamika huyo?
Vijana hawa wanadaiwa kuwa kundi la vijana zaidi ya wanne na baada ya kukurupushwa na walinzi walikimbia na kumsahau mwenzao huyo ambaye aliwekewa mtigo na walinzi wa eneo hilo ,nyuma yake ni eneo ambalo walianza kulivunja kulia

No comments:

Post a Comment