For home theatre system solution

Wednesday, February 15, 2012

DAR ES SALAAM

WAWILI WAKAMATWA JARIBIO LA WIZI WA GARI MWANANYAMALA

HABARI /PICHA: HARUNI SANCHAWA, GPL  
 
 Askari wakiwachukua watuhumiwa, mmoja amesimama na mwingine amekaa (kulia).

 Watu wakilitazama gari lililotaka kuibiwa.
 JESHI la  polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni limewakamata vijana wawili waliokuwa wakitaka kuiba gari ndani ya hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam leo.
 Sakata hilo limetokea maeneo ya hospitali hiyo  na  kuvuta idadi ya watu wengi eneo hilo ambapo vijana hao waliohusika majina yao hayakupatikana na  walitiwa mbaroni na polisi.

HABARI /PICHA: HARUNI SANCHAWA, GPL

No comments:

Post a Comment